Mambo ya Kuzingatia Kabla ya Kununua Mabati au Vigae Vya Kupaulia.
Architect Sebastian Moshi Whatsapp/Call +255717452790.
This author has yet to write their bio.
Meanwhile lets just say that we are proud Ujenzi Makini contributed a whooping 773 entries.
Architect Sebastian Moshi Whatsapp/Call +255717452790.
1. Hatua za awali za maandalizi ya Barabara yenyewe (Site Preparation) 2. Kuweka Tabaka la Msingi la Barabara husika. 3. Kazi ya useremala ya kutengeneza muundo(formwork). 4. Kuchanganya na kumwaga zege (Concrete Mixing & Casting) 5. Kusawazisha na kuweka mitaro au chaneli za kupeleka maji sehemu sahihi. 6. Kumwagilia zege yenyewe wakati inaendelea kukauka na […]
Katika kuongeza thamani ya kiuchumi Tanzania tunahitaji ujenzi bora kuhakikisha kwamba watu wanapata kitu kinachoendana na thamani ya fedha wanayolipa. Katika mazingira ya Kitanzania, kuhakikisha hili kunahitaji mbinu sahihi, uhamasishaji wa mali ghafi kwa kuzingatia unafuu wa gharama na ubora halisi unaendana na utamaduni wetu kwa kuzingatia pia kuzingatia hali ya hewa ya eneo husika. […]
Mara nyingi watu huwa wanashindwa kuelewa nini kinachofanya mradi wa ujenzi kufanya kwa ubora na kwa viwango vilikusudiwa au hata kuvuka matarajio yaliyokusudiwa kwenye mradi husika. Matokeo bora ya mradi wa ujenzi ni pamoja na ubora wa kazi iliyozingatia vigezo vyote vya ubora na utaalamu sambamba na kukamilika ndani ya muda uliowekwa na ndani ya […]
Watu wengi wamekuwa wanaibiwa sana sio kwa sababu ya ujanja wa wale wanaoiba bali kwa sababu ya kupenda urahisi kwa wale wanaoibiwa. Wezi wanajua kwamba watu wengi wanapenda vitu vya bei rahisi bila hata kujiuliza huo urahisi umetokea wapi, hivyo huwa wanatumia mwanya huo huo wa watu kupenda urahisi kwa kuwaonyesha kwamba wanawasaidia kumbe kimsingi […]
Moja kati ya sehemu ambazo huwa na hatari ya kuibiwa ni kwenye miradi ya ujenzi na sababu ni kwa vile wizi wa vifaa vya ujenzi huwa vinalipa sana. Hebu fikiria mtu akifanikiwa kuiba tani moja ya nondo anaweza kupata mpaka kiasi cha shilingi milioni mbili za kitanzania. Kwa kifupi ni kwamba katika ujenzi karibu kila […]
Katika kufanya kazi za ramani za nyumba kuna watu wengi ambao wanahitaji ramani mpya kabisa kwenye kiwanja kipya lakini kuna watu wachache ambao wao wanahitaji kuendeleza nyumba ambayo tayari ipo katika eneo husika aidha kuifanya kuwa kubwa zaidi au kuifanya kuwa ya ghorofa kabisa. Hata hivyo kazi hizi zote zinafanyika kwa namna tofauti na ile […]
Changamoto zinazotokana na miradi ya ujenzi ni nyingi sana hususan miradi ambayo inafanyika bila kufuata taratibu zote za kitaalamu ambazo zimewekwa kwa lengo la kuhakikisha kwamba mradi unafanyika kwa mafanikio na kupunguza sana hatari ya kupata hasara, mradi kushindwa kumalizika kwa wakati, kazi kuwa ya viwango duni au uzembe unaoweza kupelekea uharibifu na usumbufu. Uhalisia […]
Hivi umewahi kununua kitu fulani kama simu au bidhaa nyingine kwa gharama nafuu kidogo kisha ukaitumia kwa kipindi fulani halafu ikaanza kuleta matatizo na kisha kuharibika moja kwa moja baada ya hapo ukaanza kufikiria kwamba kama ungenunua simu ya bei ya juu kidogo ingedumu kwa muda mrefu hata mara tano zaidi ambapo unakuwa hujapata hasara […]
Wakati tunaendelea na maombolezo ya maafa ya kuanguka kwa jengo la ghorofa nne katika mtaa wa mchikichini Kariakoo na kupelekea vifo vya watu ambao idadi yao inasemekana kufikia 13 mpaka sasa huku majeruhi wengi wakiendelea kutibiwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili serikali imeshaunda kamati ya kufanya uchunguzi wa majengo yote ya Kariakoo. Katika hali […]
Ujenzi Makini ni Mtandao unaotoa elimu na ushauri kwa mambo yote yanayohusu ujenzi na changamoto zote za kiufundi na kitaaluma katika fani ya ujenzi kwa lengo la kuboresha zaidi huduma na mazingira ya ujenzi kwa ujumla.
Dar es Salaam, Tanzania.
+255 717 452 790
info@ujenzimakini.com