Entries by Ujenzi Makini

NAMNA YA KUJENGA BARABARA YA ZEGE.

1. Hatua za awali za maandalizi ya Barabara yenyewe (Site Preparation) 2. Kuweka Tabaka la Msingi la Barabara husika. 3. Kazi ya useremala ya kutengeneza muundo(formwork). 4. Kuchanganya na kumwaga zege (Concrete Mixing & Casting) 5. Kusawazisha na kuweka mitaro au chaneli za kupeleka maji sehemu sahihi. 6. Kumwagilia zege yenyewe wakati inaendelea kukauka na […]

Mambo Ya Kuzingatia Kufanikisha Mradi wa Ujenzi kwa Usahihi Tanzania.

Katika kuongeza thamani ya kiuchumi Tanzania tunahitaji ujenzi bora kuhakikisha kwamba watu wanapata kitu kinachoendana na thamani ya fedha wanayolipa. Katika mazingira ya Kitanzania, kuhakikisha hili kunahitaji mbinu sahihi, uhamasishaji wa mali ghafi kwa kuzingatia unafuu wa gharama na ubora halisi unaendana na utamaduni wetu kwa kuzingatia pia kuzingatia hali ya hewa ya eneo husika. […]

KUENDELEZA NYUMBA ILIYOPO NA KUCHORA RAMANI UPYA.

Katika kufanya kazi za ramani za nyumba kuna watu wengi ambao wanahitaji ramani mpya kabisa kwenye kiwanja kipya lakini kuna watu wachache ambao wao wanahitaji kuendeleza nyumba ambayo tayari ipo katika eneo husika aidha kuifanya kuwa kubwa zaidi au kuifanya kuwa ya ghorofa kabisa. Hata hivyo kazi hizi zote zinafanyika kwa namna tofauti na ile […]

KWENYE UJENZI UADILIFU BINAFSI NA MAADILI YA KAZI YA MJENZI/MKANDARASI MWENYEWE NDIO MUHIMU ZAIDI.

Changamoto zinazotokana na miradi ya ujenzi ni nyingi sana hususan miradi ambayo inafanyika bila kufuata taratibu zote za kitaalamu ambazo zimewekwa kwa lengo la kuhakikisha kwamba mradi unafanyika kwa mafanikio na kupunguza sana hatari ya kupata hasara, mradi kushindwa kumalizika kwa wakati, kazi kuwa ya viwango duni au uzembe unaoweza kupelekea uharibifu na usumbufu. Uhalisia […]

WAMILIKI WA MAJENGO KARIAKOO MSISUBIRI SERIKALI KAGUENI MAJENGO YENU WENYEWE.

Wakati tunaendelea na maombolezo ya maafa ya kuanguka kwa jengo la ghorofa nne katika mtaa wa mchikichini Kariakoo na kupelekea vifo vya watu ambao idadi yao inasemekana kufikia 13 mpaka sasa huku majeruhi wengi wakiendelea kutibiwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili serikali imeshaunda kamati ya kufanya uchunguzi wa majengo yote ya Kariakoo. Katika hali […]