UJENZI WA JUMBA LA KIFAHARI MBWENI
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255 717 452 790.
This author has not written his bio yet.
But we are proud to say that Ujenzi Makini contributed 773 entries already.
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255 717 452 790.
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255 717 452 790.
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255 754 584 270.
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255 717 452 790.
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255 717 452 790.
Mara nyingi makosa makubwa yanafanyika kwenye ujenzi yakiambatana na hasara kubwa kwa sababu tu ya mhusika mfanya maamuzi kukosa ushauri sahihi kwenye mradi wake. Kama tunavyojua kila eneo kwenye maisha lina utaalamu wake na kukosekana kwa utaalamu huo mara zote huambatana na makosa ambayo yangeondolewa au kupunguzwa kwa mtu kutafuta ushauri sahihi kwenye eneo husika. […]
Mipangilio ya ndani ya jengo maarufu kama “interior designing” ni kazi za kisanifu za jengo ambazo huwa mara nyingine hazionekani kama zina umuhimu mkubwa japo gharama za kutengeneza michoro yake huwa ni kubwa sana. Watu wengi huona kama wanaweza kuiga tu kokote na kuweka na kupata kile wanachotaka bila kutumia gharama kubwa sana katika michoro. […]
Watu wengi wamekuwa wakiulizia sana kuhusu ujenzi wa jengo la kanisa, utaalamu wake na gharama zake. Baadhi wamekuwa wakiwa na fikra na mitazamo tofauti juu ya ujenzi huu huku wengine wakiwa hawana uelewa mchakato wake ulivyo. Kiuhalisia ujenzi wa kanisa ni ujenzi kama ujenzi mwingine isipokuwa utofauti kati ya kanisa moja na jingine unategemea na […]
Ujenzi wa kiwanda sio ujenzi mgumu kama wengi wanavyoweza kufikiria bali jambo muhimu ni kupatikana kwa taarifa sahihi kuhusu kiwanda husika kuanzia uhusiano kati ya nafasi na nafasi, madhara ya kiafya na kimazingira ya mashine ndani ya kiwanda n.k., Wakati mwingine ujenzi wa kiwanda jambo utazingatia mzunguko mzima wa shughuli za ndani ya kiwanja lakini […]
Ujenzi wa majengo ya shule ni ujenzi kama ujenzi mwingine wowote ule isipokuwa mpangilio wa kisanifu kwa majengo ya shule ndipo utofauti unapotoka. Changamoto ni kwamba baadhi ya watu kwa kutokujua madhara yake huamua kujenga shule kwa maamuzi yao binafsi bila kuhusisha wataalamu wa usanifu na uhandisi kitu ambacho hupelekea mazingira ya shule kukosa mpangilio […]
Ujenzi Makini ni Mtandao unaotoa elimu na ushauri kwa mambo yote yanayohusu ujenzi na changamoto zote za kiufundi na kitaaluma katika fani ya ujenzi kwa lengo la kuboresha zaidi huduma na mazingira ya ujenzi kwa ujumla.
Dar es Salaam, Tanzania.
+255 717 452 790
info@ujenzimakini.com