UJENZI WA NYUMBA ZA KUPANGA APARTMENTS
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255 717 452 790.
This author has not written his bio yet.
But we are proud to say that Ujenzi Makini contributed 775 entries already.
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255 717 452 790.
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255 754 584 270.
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255 717 452 790.
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255 717 452 790.
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255 754 584 270.
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255 717 452 790.
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255 717 452 790.
Mara nyingi makosa makubwa yanafanyika kwenye ujenzi yakiambatana na hasara kubwa kwa sababu tu ya mhusika mfanya maamuzi kukosa ushauri sahihi kwenye mradi wake. Kama tunavyojua kila eneo kwenye maisha lina utaalamu wake na kukosekana kwa utaalamu huo mara zote huambatana na makosa ambayo yangeondolewa au kupunguzwa kwa mtu kutafuta ushauri sahihi kwenye eneo husika. […]
Mipangilio ya ndani ya jengo maarufu kama “interior designing” ni kazi za kisanifu za jengo ambazo huwa mara nyingine hazionekani kama zina umuhimu mkubwa japo gharama za kutengeneza michoro yake huwa ni kubwa sana. Watu wengi huona kama wanaweza kuiga tu kokote na kuweka na kupata kile wanachotaka bila kutumia gharama kubwa sana katika michoro. […]
Watu wengi wamekuwa wakiulizia sana kuhusu ujenzi wa jengo la kanisa, utaalamu wake na gharama zake. Baadhi wamekuwa wakiwa na fikra na mitazamo tofauti juu ya ujenzi huu huku wengine wakiwa hawana uelewa mchakato wake ulivyo. Kiuhalisia ujenzi wa kanisa ni ujenzi kama ujenzi mwingine isipokuwa utofauti kati ya kanisa moja na jingine unategemea na […]
Ujenzi Makini ni Mtandao unaotoa elimu na ushauri kwa mambo yote yanayohusu ujenzi na changamoto zote za kiufundi na kitaaluma katika fani ya ujenzi kwa lengo la kuboresha zaidi huduma na mazingira ya ujenzi kwa ujumla.
Dar es Salaam, Tanzania.
+255 717 452 790
info@ujenzimakini.com
