BUSTANI ZA NYUMBANI ZA KISASA(GARDENING AND LANDSCAPING)
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255717452790.
This author has yet to write their bio.Meanwhile lets just say that we are proud Ujenzi Makini contributed a whooping 733 entries.
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255717452790.
Kumekuwepo na uuzwaji wa ramani za nyumba mbalimbali za mitandaoni hasa miaka hii ya karibuni na baadhi ya watu wamekuwa wakishawishika kununua kwa sababu zinaonekana zinapatikana kwa bei rahisi kidogo pia. Lakini matatizo yanayoletwa na ramani za mitandaoni ni makubwa sana kiasi kwamba hata huo urahisi wa bei hutaona umuhimu wake tena. Jambo moja la […]
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255717452790.
Kutokana na mapinduzi makubwa kisanifu na kiteknolojia katika ujenzi na hasa katika taaluma ya ujenzi vilivyopelekea kuongezeka kwa ubunifu muonekano wa majengo ya kisasa umekuwa ni wenye kuvutia sana na kila moja kuweza kuwa wa kipekee pasipo kufanana sana kwa kila mradi. Jambo hili limepelekea watu kuvutiwa sana na muonekano na kuweka akili zao zaidi […]
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255717452790
Ili mtu aweze kuipenda nyumba yake na kufurahia kila anapoitazama inapaswa kuwa ni nyumba nzuri inayomvutia angalau yeye binafsi. Na hii ndio sababu watu wengi wamekuwa wakivutiwa sana na aina mbalimbali za nyumba za kisasa za wakati huu ambazo zimekuwa na mwonekano na mvuto wa kipekee kutokana na mapinduzi makubwa ya kisanifu yanayoendelea sambamba na […]
Architect Sebastian Moshi Whatsapp/Call +255717452790
Wote tunafahamu kwamba nchi yetu ina uhaba mkubwa sana linapokuja suala la washauri wa kitaalamu katika sekta mbalimbali. Sekta ya ujenzi ni kati ya maeneo ambayo washauri wa kitaalamu wamekuadimika sana kwenye miradi ya ujenzi, jambo linalopelekea kushuka sana kwa ubora na thamani ya miradi ya ujenzi ukilinganisha na thamani ya fedha iliyotumika kwenye miradi […]
Kwenye suala linalohusisha fedha kila mtu huwa na mtazamo tofauti kutokana na mazoea na malezi aliyokuzwa nayo juu ya viwango mbalimbali vya fedha vinavyotajwa. Wakati mtu mwingine anaweza kuona milioni 50 kama ni fedha nyingi sana, mtu mwingine anaona milioni 200 kama ni fedha kidogo sana, na hiyo inatokana zaidi na malezi na mazoea pamoja […]
Mara nyingi watu hupenda kuulizia gharama za ujenzi wa jengo au nyumba fulani aidha ya chini au ya ghorofa kutaka kujua bei ili ajue kama yuko kwenye nafasi kubwa kiasi gani kuweza kuijenga. Ni sahihi kabisa na ni jambo muhimu kuweza kufahamu hili ili kujua ni kiasi gani unaweza kumudu na kwa muda gani utaweza […]
Ujenzi Makini ni Mtandao unaotoa elimu na ushauri kwa mambo yote yanayohusu ujenzi na changamoto zote za kiufundi na kitaaluma katika fani ya ujenzi kwa lengo la kuboresha zaidi huduma na mazingira ya ujenzi kwa ujumla.
Dar es Salaam, Tanzania.
+255 717 452 790
info@ujenzimakini.com