GHARAMA YA RAMANI YA UJENZI ISIWE SABABU YA WEWE KUJENGA JENGO LA HOVYO.
Wote tunafahamu kwamba ujenzi wa nyumba ni gharama sana, ni moja kati ya miradi yenye gharama kubwa sana kuifanya katika maisha ya watu wengi. Gharama ya kukamilisha nyumba moja ya kuishi ambayo sio ya ghorofa unaweza kununua hata magari 10 ya Tshs milioni 15 kila moja. Na hiyo ndio maana watu wengi wanaojenga huwa hawakamilisha […]