GHARAMA ZA AWALI KWENYE UJENZI (PRELIMINARIES COSTS)
Gharama za ujenzi zilizozoeleka zimegawanyika katika makundi makuu mawili ambapo kuna gharama za vifaa vinavyokwenda kutumika kwenye ujenzi(materials cost) kisha kuna gharama za ufundi unaokwenda kufanyika kwenye ujenzi huo(labour cost). Mara nyingi gharama za usimamizi katika ujenzi huo huingia kwenye gharama za ufundi ikiwa msimamizi ndiye aliyewaajiri mafundi. Lakini hata hivyo kuna gharama nyingine huwa […]