RAMANI YA MGAHAWA, BAA NA LODGE
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255 717 452 790.
This author has not written his bio yet.
But we are proud to say that Ujenzi Makini contributed 775 entries already.
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255 717 452 790.
Mara nyingi watu wamekuwa aidha wakibomoa nyumba au wakiendeleza nyumba au kukarabati nyumba kwa namna ambayo inahusisha kuondoa kwanza bati za nyumba hiyo. Kuondoa huku bati au malighafi nyingine iliyotumika kutengeneza paa kama vile vigae kumekuwa kunadhaniwa na watu wengi kwamba inalazimu mtu aweke paa jingine jipya kabisa kwa kuwa lile linakuwa limeshaharibika. Kwa mfano […]
Mara zote huwa kuna utofauti unaotokea kati ya michoro ya jengo ikiwa bado haijajengwa na uhalisia wa jengo baada ya kuwa limejengwa. Utofauti huu huwa unakuwa na madhara kwa jengo husika ikiwa gharama za ufundi au ukarabati wake zitafanyika kwa kutegemea michoro peke yake bila mtaalamu wa gharama kufika eneo la ujenzo. Kiuhalisia gharama za […]
Miradi ya ujenzi hasa miradi midogo na ya saizi ya kati imekuwa ni miradi isiyoisha changamoto katika mchakato wa ujenzi wake kwa sababu ya utata mwingi uliopo katika mfumo mzima wa uendeshaji. Utata wa miradi ya ujenzi inaanzia kuanzia kwenye uaminifu, uwezo, uzoefu na uzingatiaji wa taaluma husika za ujenzi katika vitengo husika. Mjumuisho wa […]
RAMANI YA KANISA LA KISASA. Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255 717 452 790.
Kadiri ninavyoendelea kufanya usimamizi wa miradi ya ujenzi na kujifunza zaidi na zaidi na kufanya uchunguzi wa kina ndivyo ninavyozidi kushawishika kwamba suala la kufanya kazi na watu waaminifu haliepukiki ikiwa kweli unahitaji kukamilisha mradi wenye thamani kubwa. Ni kweli kabisa na ni muhimu sana kudhibiti uharibifu na ubadhirifu wa namna mbalimbali katika eneo la […]
Baadhi ya watu wamekuwa wakihoji kuhusu makala zinazokwenda hewani hapa kwenye tovuti zinaandikwa kutoka kwenye chanzo gani cha taarifa. Ni kweli kwamba hizi makala bado zinaendelea kuja sana tena zinaongeza kasi ya ujio wake japo tunataka kuziboresha zaidi ili ziwe zinagusa sana watu kwa namna zote hizi tofauti. Hata hivyo makala hizi zinaandikwa kutoka kwenye […]
Kuna watu wanaamini kwamba ramani za kujenga nyumba zinapatikana kwenye mitandao, wakati mwingine ni ushauri kutoka kwa marafiki au watu wa karibu kwamba kama unataka kujenga nyumba unaweza kuchukua ramani kwenye mitandao. Ukweli ni kwamba kuna uwezekano wa zaidi ya asilimia 95% kwamba ramani unayoitoa kwenye mitadao haikufai, hata kama umeinunua kwa pesa kama aliyekuuzia […]
Changamoto kubwa sana tunazokutana nazo kwenye ujenzi huwa zinatuathiri kwa sababu mara nyingi huwa hatuzitegemei kutokea bali zinakuja kwa kama ajali katika wakati ambao pengine tumeshachelewa au tunahitaji kutatua kwa gharama kubwa sana. Na moja kati ya sababu ya changamoto hizo kujitokeza ukiachilia mbali uzembe na ubadhirifu basi huwa ni kukosa ushirikiano kama timu ya […]
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255 717 452 790.
Ujenzi Makini ni Mtandao unaotoa elimu na ushauri kwa mambo yote yanayohusu ujenzi na changamoto zote za kiufundi na kitaaluma katika fani ya ujenzi kwa lengo la kuboresha zaidi huduma na mazingira ya ujenzi kwa ujumla.
Dar es Salaam, Tanzania.
+255 717 452 790
info@ujenzimakini.com
