Entries by Ujenzi Makini

TABIRI MRADI WAKO WA UJENZI KWA KUTUMIA MFUMO.

Miradi ya ujenzi hasa miradi midogo na ya saizi ya kati imekuwa ni miradi isiyoisha changamoto katika mchakato wa ujenzi wake kwa sababu ya utata mwingi uliopo katika mfumo mzima wa uendeshaji. Utata wa miradi ya ujenzi inaanzia kuanzia kwenye uaminifu, uwezo, uzoefu na uzingatiaji wa taaluma husika za ujenzi katika vitengo husika. Mjumuisho wa […]

USALAMA PEKEE KWENYE UJENZI NI KUZINGATIA KUFANYA KAZI NA WATU WAAMINIFU.

Kadiri ninavyoendelea kufanya usimamizi wa miradi ya ujenzi na kujifunza zaidi na zaidi na kufanya uchunguzi wa kina ndivyo ninavyozidi kushawishika kwamba suala la kufanya kazi na watu waaminifu haliepukiki ikiwa kweli unahitaji kukamilisha mradi wenye thamani kubwa. Ni kweli kabisa na ni muhimu sana kudhibiti uharibifu na ubadhirifu wa namna mbalimbali katika eneo la […]

NAANDIKA KUTOKA KWENYE UZOEFU BINAFSI.

Baadhi ya watu wamekuwa wakihoji kuhusu makala zinazokwenda hewani hapa kwenye tovuti zinaandikwa kutoka kwenye chanzo gani cha taarifa. Ni kweli kwamba hizi makala bado zinaendelea kuja sana tena zinaongeza kasi ya ujio wake japo tunataka kuziboresha zaidi ili ziwe zinagusa sana watu kwa namna zote hizi tofauti. Hata hivyo makala hizi zinaandikwa kutoka kwenye […]

BAADHI YA WATU WENGI WALIOJENGA KWA RAMANI ZA KWENYE MITANDAO BILA KUHUSISHA MTAALAMU WAMEISHIA KWENYE MAJUTO.

Kuna watu wanaamini kwamba ramani za kujenga nyumba zinapatikana kwenye mitandao, wakati mwingine ni ushauri kutoka kwa marafiki au watu wa karibu kwamba kama unataka kujenga nyumba unaweza kuchukua ramani kwenye mitandao. Ukweli ni kwamba kuna uwezekano wa zaidi ya asilimia 95% kwamba ramani unayoitoa kwenye mitadao haikufai, hata kama umeinunua kwa pesa kama aliyekuuzia […]

KABLA YA KUPAUA JENGO.

Changamoto kubwa sana tunazokutana nazo kwenye ujenzi huwa zinatuathiri kwa sababu mara nyingi huwa hatuzitegemei kutokea bali zinakuja kwa kama ajali katika wakati ambao pengine tumeshachelewa au tunahitaji kutatua kwa gharama kubwa sana. Na moja kati ya sababu ya changamoto hizo kujitokeza ukiachilia mbali uzembe na ubadhirifu basi huwa ni kukosa ushirikiano kama timu ya […]

UJENZI UNAPOKOSA WATAALAMU NA THAMANI INAKOSEKANA PIA.

Siku za hivi karibuni nilifanya kikao na ofisa mmoja wa mikopo wa moja kati ya benki za kigeni zinafanya vizuri sana hapa nchini. Tuliweza kuongea mengi na mimi nikijaribu kumpa maelezo ya mapendekezo yangu kwake ndio tukajikuta tumeingia kwenye mjadala mmoja uoavutia sana. Aliniambia kwamba wamekuwa wakitoa mikopo ya ujenzi kwa mashirika na kwa watu […]