KUFIKA SITE NI MUHIMU KABLA YA KUFANYA HESABU YA GHARAMA ZA UFUNDI.
Mara zote huwa kuna utofauti unaotokea kati ya michoro ya jengo ikiwa bado haijajengwa na uhalisia wa jengo baada ya kuwa limejengwa. Utofauti huu huwa unakuwa na madhara kwa jengo husika ikiwa gharama za ufundi au ukarabati wake zitafanyika kwa kutegemea michoro peke yake bila mtaalamu wa gharama kufika eneo la ujenzo. Kiuhalisia gharama za […]