PETER KEATING ANAMTISHA LUCIUS HEYER ANAPATA MSHTUKO NA KUFARIKI KISHA ANARITHI HISA ZAKE ZA KAMPUNI YA USANIFU MAJENGO
KITABU: FOUNTAINHEAD. AUTHOR: AYN RAND. 1. Lucius Heyer hakufariki kwa urahisi kama ilivyotegemewa, ameweza kupona na kurudi tena ofisini. 2. Guy Francon anataka kumnunua Lucius Heyer, lakini Heyer anakataa. 3. Kampuni ya Francon & Heyer inaingia kwenye ushindani wa mradi mkubwa wa jengo lenye mvuto zaidi duniani. 4. Henry Cameron anamwita Howard Roark nyumbani kwake […]
