HATUA MUHIMU KATIKA UJENZI AMBAZO NI LAZIMA KUHUSISHA UTAALAMU.
Licha ya kwamba tunahimiza sana umuhimu wa mradi mzima wa ujenzi kutumia utaalamu kuanzia mwanzo mpaka mwisho ili kuzingatia ubora na kanuni sahihi za kitaalamu katika ujenzi lakini kuna maeneo ambayo ni muhimu zaidi angalau yasimamiwe, kukaguliwa na kuhakikiwa na mtaalamu kwa sababu ndio maeneo ambayo ni rahisi kufanyika makosa, na mara makosa yanapofanyika kuja […]
