Entries by Ujenzi Makini

HATUA MUHIMU KATIKA UJENZI AMBAZO NI LAZIMA KUHUSISHA UTAALAMU.

Licha ya kwamba tunahimiza sana umuhimu wa mradi mzima wa ujenzi kutumia utaalamu kuanzia mwanzo mpaka mwisho ili kuzingatia ubora na kanuni sahihi za kitaalamu katika ujenzi lakini kuna maeneo ambayo ni muhimu zaidi angalau yasimamiwe, kukaguliwa na kuhakikiwa na mtaalamu kwa sababu ndio maeneo ambayo ni rahisi kufanyika makosa, na mara makosa yanapofanyika kuja […]

JENGO LAKO LITAENDELEA KUANGUKA TARATIBU.

Wiki iliyopita tumeshuhudia jengo la ghorofa likiporomoka maeneo ya Goba jijini Dar es Salaam na kusababisha majanga ya vifo vya watu wanne pamoja na majeruhi 17. Ni wazi kwamba kuanguka kwa jengo hilo ni matokeo ya kukosekana kwa utaalamu makini uliozingatiwa katika hatua zote muhimu katika ujenzi kuanzia katika hatua ya utengenezaji wa michoro ya […]

KUANGUKA KWA JENGO LA GHOROFA NI MATOKEO YA KUTOSHIRIKISHA UTAALAMU.

Najua watu wengi watasema kwamba hapana yapo majengo mengi wanashirikishwa wataalamu lakini bado yanaanguka. Hapa hakuna ukweli uliokamilika, ninapozungumza kushirikishwa utaalamu sizungumzii kushirikishwa utaalamu katika ngazi ya michoro peke yake na kusajili mradi, nazungumzia kushirikishwa utaalamu katika ngazi zote kuanzia wakati wa michoro ya ramani mpaka kwenye usimamizi wa jengo mpaka linakamilika. Kwanza kabisa lazima […]

EPUKA HASARA NA MAJUTO NA OKOA FEDHA KWENYE UJENZI

Unahitaji Mchoro wa Ramani Yenye Muonekano Bora wa Kipekee na Mpangilio Sahihi Itakayoleta Heshima na Ufahari, Kipekee Kabisa Kwako. – Kazi Nyingi za Ujenzi Ni Za Hovyo na Za Viwango Duni Kwa Sababu Watu Hawazingatii Utaalamu Katika Mpangilio Sahihi na Mvuto wa Kipekee. – Sisi Kazi Yetu ni Kuweka Umakini Mkubwa Katika Mpangilio Sahihi na […]

KWENYE UJENZI KILA KITU KINA GHARAMA YAKE.

Kuna changamoto kubwa kwenye ujenzi kwa watu kuwa mabadiliko au vitu vya tofauti wanavyokuwa wanavitaka bila kufikiria gharama inayokuja na mabadiliko hayo au vitu hivyo. Ni kawaida inatokea mtu kutaka kufahamu gharama ya ujenzi na kuambiwa halafu kama kujadili mradi wenyewe kwa marefu na mapana akahitaji vitu vinngi sana vya ziada bila kufikiria kama vitaathiri […]