MAAMUZI SAHIHI KWENYE UJENZI YANAHITAJI UKOMAVU WA KIAKILI TUNAOUITA BUSARA.
Katika zama za zamani za Misri, Ugiriki na Roma kulikuwa hakuna utofauti unaoelezeka kwa usahihi kati ya maneno busara na usomi. Mara nyingi usomi uliitwa au kufananishwa neno busara kama linavyofahamika katika nyakati za sasa. Pengine hili lilitokana na kwamba watu wengi waliojihangaisha kusoma katika nyakati za zamani walikuwa ni wale waliokuwa na busara kubwa […]
