KUHUSU UJENZI HUPASWI KUKATA TAMAA.
Watu wengi wanapokuwa vijana wadogo wanaokua huwa na ndoto kubwa sana kwenye maisha yao za kufanikisha mambo mengi sana makubwa. Lakini kwa bahati mbaya wengi ndoto zao huendelea kufifia kadiri ziko zinavyoendelea Kwenda mbele, japo baadhi hujitahidi kupambana nazo kwa nguvu lakini bado kuna kundi kubwa ambalo huishia kukata tamaa kadiri miaka inavyozidi kwenda mbele. […]