KUJENGA NYUMBA ZA KUPANGA BILA RAMANI NI KUZIPUNGUZIA THAMANI.
Japo nyumba za kupanga zimekuwa zikilalamikiwa kuwa na kero za aina mbalimbali zinazotokana sababu mbalimbali ambazo nyingi zinazuilika, lakini moja kati ya kero kubwa za nyumba za kupanga hususan nyumba za kupanga Tanzania ni mpangilio mbovu wa nyumba zenyewe. Nyumba za kupanga Tanzania na hasa Dar es Salaam kwa sehemu kubwa zimekosa mpangilio sahihi ambao […]