Entries by Ujenzi Makini

TOFALI ZA KUCHOMA DAR ES SALAAM.

Kwa sababu mbalimbali tofali za kuchoma zikiwemo za urembo au mazoea na utamaduni tofali a kuchoma zimekuwa zikipewa umuhimu na baadhi ya watu ambao bila kujali upatikanaji wake wamekuwa wakizipa kipaumbele katika miradi yao. Tofali za kuchoma zimekuwa zikipatikana kwa wingi na kutumika kwa wingi katika mikoa mingi ya hapa Tanzania pengine kutokana na mazoea […]

KWENYE UJENZI EPUKA HISIA, FUATA USHAURI WA SAHIHI.

Ninaweza kusema kwamba kati ya vitu ambavyo vimewagharimu sana watu kwa ujumla kwenye kufanya maamuzi hususan masuala ya ujenzi ni kwenye kutanguliza hisia mbele sehemu ya kufuata ushauri sahihi. Sio kwamba watu wanakuwa hawajapata tahadhari kwamba yanayokwenda kufanyika yanaweza kusababisha uharibifu au kazi ya viwango duni, bali ni kwamba wanakuwa bado ni wadhaifu sana kukabiliana […]

KUPUNGUZA GHARAMA ZA UJENZI PUNGUZA NYUMBA.

Suala la kupunguza gharama za ujenzi ni suala ambalo hufikiriwa na kila mtu anayetaka kujenga lakini changamoto ni kwamba wengi aidha hawajui maeneo ya kuzingatia katika kufanya hivyo au huwa wanaamini kwamba kuna miujiza inaweza kufanyika katika kupunguza gharama za ujenzi. Kama vitu vinavyofanya gharama iwe kubwa ni vitu unavyovihitaji sana na haupo tayari kuvikosa […]

WANAPOKUUZIA KIWANJA KWA UJENZI HALAFU WANATAKA HIFADHI KWENYE KIWANJA HICHO.

Imekuwa ikitokea kwa baadhi maeneo ambapo watu wamekuwa wakiuziwa kiwanja kwa ajili ya kukiendeleza maeneo mbalimbali halafu mara baada ya kuuza wale waliouza au ndugu zao wa karibu wanamwomba yule mmiliki aliyekinunua awape hifadhi waendelee kuishi eneo hilo mpaka pale atakapoamua kuanza mradi wake wa ujenzi au matumizi mengine yoyote ya kiwanja hicho ndipo waondoke […]

KARIBU UULIZE CHOCHOTE KUHUSIANA NA MASUALA YA UJENZI.

Kama jinsi ilivyo tovuti yetu ni kuelemisha na kutoa ufanunuzi wa mambo mbalimbali katika tasnia ya ujenzi kwa ujumla kuanzia mambo ambayo ni ya kitaalamu, ya kiufundi au hata taratibu nyingine zozote ndani ya taaluma ya ujenzi pamoja na mamlaka mbalimbali zinazohusika kusimamia sekta hii, tunakukaribisha uulize chochote au ufanunuzi juu ya jambo lolote ambalo […]

DHANA YA UNAFUU WA GHARAMA KWENYE UJENZI.

Linapokuja suala la ujenzi nimekuwa nikiwashauri watu mbalimbali wanapoamua kujenga waanze kuweka mkazo kwanza kwenye kile wanachokitaka na wale wanayopendelea katika nyumba zao badala ya kuweka mkazo kwenye gharama za ujenzi. Ni kweli nafahamu kwamba gharama ndio mwamuzi mkuu lakini naamini kwamba kwa mtu yeyote kuna vipaumbele vyake ambavyo ni muhimu sana ambavyo havipaswi kuwekewa […]