USITEKWE NA HOFU YA GHARAMA UKASAHAU MAMBO MUHIMU KWENYE JENGO.
Sisi binadamu ni viumbe wa hisia na ndio maana hata maamuzi yetu mengi huongozwa na hisia zaidi kuliko mantiki, na moja kati ya vitu ambavyo huteka sana hisia zetu ni vitu vinavyopatikana kwa uhaba na vyenye thamani kubwa. Fedha ni kati ya rasilimali zinazopatikana kwa uhaba na thamani yake ni kubwa ni hiyo ndio sababu […]