RAMANI YA FENSI UZIO
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255717452790.
This author has not written his bio yet.
But we are proud to say that Ujenzi Makini contributed 773 entries already.
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255717452790.
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255717452790.
Miradi mingi ya ujenzi hasa miradi mikubwa huwa na athari kubwa zaidi za kimazingira katika mazingira ambayo mradi unakuwepo ambayo huleta madhara kwa wakaazi wa eneo husika. Hivyo kuna vigezo vya athari za kimazingira vilivyowekwa na mamlaka zinahusika ili kuruhusu mradi kufanyika. Athari za kimazingira za mradi ziko za aina nyingi sana kama jinsi ilivyo […]
Kwenye sekta ya ujenzi, moja kati ya changamoto kubwa ambayo watu huwa wanakutana nayo mara kwa mara ni ujenzi kukwama kwa sababu ya vigezo na masharti vilivyowekwa na mamlaka husika. Japo wakati mwingine sheria inaacha nafasi ya kuwepo kwa mabadiliko lakini bado changamoto ni kubwa. Suala la ujenzi kukwama kwa sababu ya kuwepo kwa masharti […]
Nimekuwa nikipigiwa simu mara kwa mara na watu wakijaribu kuuliza na kujua kama kiwanja chake kinaweza kutosha nyumba ya ukubwa fulani pamoja na matumizi mengine anayotaka kufanya katika kiwanja hicho. Ni kweli kwamba sio rahisi kujua haswa kiwanja husika kinaweza kumudu matumizi mengi kiasi gani kwa sababu ukubwa wa matumizi ya ndani ya kiwanja ni […]
Mpangilio wa bustani katika eneo la makazi bado limeendelea kuwa ni suala lisilopewa kipaumbele na watu wengi kwa sababu ya kutokuwa na utamaduni wa kujali sana kuhusu bustani. Lakini kwa mtu yeyote anapotembelea katika eneo ambalo limepangilio kwa usahihi kwenye masuala ya bustani huwa anaona wazi ni jinsi gani eneo hilo limeongezeka thamani kwa sababu […]
Kabla mtu hujaanza kuishi kwenye nyumba sio rahisi kuona changamoto zake, ni baada ya kuishi ndani ya nyumba kwa muda na kutumia maeneo yote ya nyumba yako ndio mtu huweza kuona kuna maeneo ungetamani yawe tofauti na yalivyo sasa. Mara nyingi huwa tunajenga aidha tukiwa bado kuna uzoefu wa vitu vingi hatujakutana nao au wakati […]
Kutokana na mazoea watu wanapofirikia kuhusu maegesho ya magari hufikiria katika mitazamo mikubwa miwili. Ikiwa ni maegesho ya magari nyumbani basi ni aidha kuna eneo la wazi la nje la maegesho ya magari au ni eneo la ndani ya nyumba la kuegesha gari au magari. Ikiwa ni maegesho ya magari katikati ya mji au maeneo […]
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255717452790.
Kumekuwa na malalamiko mengi sana juu ya kuvuja kwa nyumba za kisasa aina ya “contemporary” ambazo bati za nyumba lenyewe zinakuwa hazijatokeza kwa nje kwa sababu linafichwa na kuta za “parapet” hivyo kutegemea “gutter” ya zege katika kukusanya na kuondoa maji ya mvua juu ya paa. Ni kweli malalamiko haya ni mengi sana na kweli […]
Ujenzi Makini ni Mtandao unaotoa elimu na ushauri kwa mambo yote yanayohusu ujenzi na changamoto zote za kiufundi na kitaaluma katika fani ya ujenzi kwa lengo la kuboresha zaidi huduma na mazingira ya ujenzi kwa ujumla.
Dar es Salaam, Tanzania.
+255 717 452 790
info@ujenzimakini.com