THAMANI YA HUDUMA YA KITAALAMU IKO KWENYE MUDA, UTAALAMU NA UZOEFU.
Katika vitu ambavyo nchi nyingi ambazo ziko nyuma kimaendeleo zimekuwa hazioni thamani kubwa kwake ni suala la muda. Kimsingi muda ni kitu cha thamani kubwa sana kuliko hata pesa kwa sababu pesa zilizopotea zinaweza kutafutwa zikapatikana lakini muda uliopotea hauwezi kutafutwa ukapatikana. Kila kitu cha thamani unachoweza kuzalisha unatumia muda kukizalisha na ukikosa muda maana […]
