About Ujenzi Makini
This author has not written his bio yet.
But we are proud to say that Ujenzi Makini contributed 775 entries already.
Entries by Ujenzi Makini
EPUKA RAMANI ZA KWENYE MITANDAO, KUTANA NA MTAALAMU.
/0 Comments/in MAKALA ZA UJENZI/by Ujenzi MakiniKabla kufikiria kuchukua ramani ya kwenye mtandao kwanza anza kufikiria ikiwa ramani husika itakuwa na changamoto au katikati ya ujenzi ukabadili mawazo na kutaka kufanya marekebisho kidogo ya ramani kabla hujaendelea, ni nani atakayekufanyia kazi hiyo ya kitaalamu? Kazi za kutoa huduma za kitaalamu ni tofauti kidogo na biashara za kuuza bidhaa ambapo ukishainunua unaweza […]
BUSTANI ZA NYUMBANI ZA KISASA(GARDENING AND LANDSCAPING)
/0 Comments/in MIRADI MIPYA/by Ujenzi MakiniArchitect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255717452790.
TATIZO LA RAMANI ZA NYUMBA ZA KWENYE MITANDAO.
/0 Comments/in MAKALA ZA UJENZI/by Ujenzi MakiniKumekuwepo na uuzwaji wa ramani za nyumba mbalimbali za mitandaoni hasa miaka hii ya karibuni na baadhi ya watu wamekuwa wakishawishika kununua kwa sababu zinaonekana zinapatikana kwa bei rahisi kidogo pia. Lakini matatizo yanayoletwa na ramani za mitandaoni ni makubwa sana kiasi kwamba hata huo urahisi wa bei hutaona umuhimu wake tena. Jambo moja la […]
NYUMBA ZA KISASA TANZANIA
/5 Comments/in MIRADI MIPYA/by Ujenzi MakiniArchitect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255717452790.
MUONEKANO BORA WA NYUMBA YA KISASA PEKEE HAUTOSHI
/0 Comments/in MAKALA ZA UJENZI/by Ujenzi MakiniKutokana na mapinduzi makubwa kisanifu na kiteknolojia katika ujenzi na hasa katika taaluma ya ujenzi vilivyopelekea kuongezeka kwa ubunifu muonekano wa majengo ya kisasa umekuwa ni wenye kuvutia sana na kila moja kuweza kuwa wa kipekee pasipo kufanana sana kwa kila mradi. Jambo hili limepelekea watu kuvutiwa sana na muonekano na kuweka akili zao zaidi […]
BUSTANI ZA NYUMBANI “(GARDEN) NA LANDSCAPING DESIGN”
/0 Comments/in MIRADI MIPYA/by Ujenzi MakiniArchitect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255717452790
NYUMBA ZA KISASA ZINAHITAJI MAANDALIZI NA MWONGOZO WA KITAALAMU KATIKA UJENZI
/0 Comments/in MAKALA ZA UJENZI/by Ujenzi MakiniIli mtu aweze kuipenda nyumba yake na kufurahia kila anapoitazama inapaswa kuwa ni nyumba nzuri inayomvutia angalau yeye binafsi. Na hii ndio sababu watu wengi wamekuwa wakivutiwa sana na aina mbalimbali za nyumba za kisasa za wakati huu ambazo zimekuwa na mwonekano na mvuto wa kipekee kutokana na mapinduzi makubwa ya kisanifu yanayoendelea sambamba na […]
NYUMBA NZURI YENYE VYUMBA VIKUBWA
/0 Comments/in MIRADI MIPYA/by Ujenzi MakiniArchitect Sebastian Moshi Whatsapp/Call +255717452790
KAMPUNI ZA UJENZI TANZANIA ZINAPASWA KUWA NA WASHAURI WA KITAALAMU.
/5 Comments/in MAKALA ZA UJENZI/by Ujenzi MakiniWote tunafahamu kwamba nchi yetu ina uhaba mkubwa sana linapokuja suala la washauri wa kitaalamu katika sekta mbalimbali. Sekta ya ujenzi ni kati ya maeneo ambayo washauri wa kitaalamu wamekuadimika sana kwenye miradi ya ujenzi, jambo linalopelekea kushuka sana kwa ubora na thamani ya miradi ya ujenzi ukilinganisha na thamani ya fedha iliyotumika kwenye miradi […]
Kuhusu Sisi
Ujenzi Makini ni Mtandao unaotoa elimu na ushauri kwa mambo yote yanayohusu ujenzi na changamoto zote za kiufundi na kitaaluma katika fani ya ujenzi kwa lengo la kuboresha zaidi huduma na mazingira ya ujenzi kwa ujumla.
Mawasiliano
Dar es Salaam, Tanzania.
+255 717 452 790
info@ujenzimakini.com
