JIHADHARI NA UTAPELI HUU KWENYE MIRADI YA UJENZI INAYOENDELEA.
Siku hizi, tofauti na miaka ya nyuma kidogo miradi ya ujenzi imekuwa ikihiatajika kupata usajili katika taasisi na bodi mbalimbali zinazojihusisha na ujenzi pamoja na mawakala wao. Mabadiliko ya sheria na taratibu yamekuwa yakitokea mara kwa mara na taasisi hizi zimezidi kufanya ufatiliaji mkali zaidi siku hadi siku kuhakikisha kila mradi wa ujenzi unafuata taratibu […]
