HADHI YA NYUMBA ZA KUPANGA KIBIASHARA – KWENYE MIJI MIKUBWA TANZANIA
Nyumba nyingi za kupanga katika miji mikubwa ya Tanzania kwa ujumla na hasa Dar es Salaam zina changamoto nyingi sana hasa kwa upande wa hadhi ya nyumba zenyewe. Licha ya kwamba zinaweka viwango mbalimbali vya kodi lakini ni chache sana ambazo mteja anapata thamani sahihi ya ile pesa anayolipa, huku sababu kuu ikiwa ni kutozingatia […]
