2. UJENZI WA KUTUMIA CHUMA (STEEL STRUCTURES)
-Ujenzi wa kutumia chuma hufanywa kwa kutumia chuma imara sana na yenye nguvu inayoitwa (mild steel). Chuma hizi ni imara sana kiasi kwamba ukichukua nondo yenye kipenyo(diameter) ya 1inch au 25mm unaweza kuning’iniza mzigo wenye tani 20 na inahimili. Uimara huu ni faida kubwa kwa majengo. Faida nyingine ya kutumia chuma ni urahisi wake wa […]