UJENZI WA TOFALI ZA KUCHOMA DAR ES SALAAM.
Tofali za kuchoma zimekuwa zikitumika zaidi na kukubalika maeneo mbalimbali duniani. Hata hivyo kwa Tanzania zimekuwa zikitumika zaidi yale maeneo au mikoa ambapo zinapatikana kwa urahisi. Lakini watu mbalimbali, kwa sababu mbalimbali wamekuwa wakizipenda na kutamani kuzitumia sio tu kwenye maeneo zinakopaatikana kwa urahisi bali hata kwenye mikoa na miji ambapo hazipatikani kiurahisi. Jambo hili […]
