Entries by Ujenzi Makini

UJENZI USALAMA MAHALI PA KAZI.

Usalama mahali pa kazi bado ni suala lisilopewa uzito hususan kwa miradi ya kawaida ya mtaani ambayo haipewi umakini na taasisi husika lakini ajali zake zipo na huwa zinakuja na gharama kubwa. Tunapaswa kuongeza kipaumbele sana kwenye eneo hili la usalama mahali pa kazi sio kwa sababu tu tunaziogopa au tunataka kuzifurahisha mamlaka husika kama […]

INFINITY POOL TANZANIA (INFINITY SWIMMING POOL).

Moja kati ya vitu vinavyofanya wataalamu kwenye fani ya ujenzi katika nchi za ulimwengu wa tatu wanafanya kazi za kawaida zisizo na msisimko mkubwa ni pamoja kukosekana kwa miradi mingi ya inayojumuisha vitu kwa sababu aidha ya gharama zake au kutokuwa na umaarufu mkubwa katika mazingira husika. Sasa moja kati ya mawazo ya kipekee sana […]

GHARAMA ZA UJENZI NI MAKADIRIO TU HUWEZI KUJUA KWA UHAKIKA KABLA YA KUJUA UKUBWA HALISI.

Kila siku tunawasiliana na watu wengi ambao wanapiga simu au kutuma ujumbe kwa njia ya whatsapp na kawaida wakiulizia mambo mbalimbali yanayohusu ujenzi. Moja kati ya vitu vinavyouliziwa sana na kwa namna tofauti tofauti ni gharama za ujenzi. Watu mbalimbali wanaulizia gharama za ujenzi wa majengo ya aina mbalimbali na ya ukubwa mbalimbali kwa kutaja […]

UJENZI UNATAKA UTAALAMU NA UZOEFU.

Kati ya vitu ambavyo vimekuwa vikinishangaza sana kwa muda mrefu ni jinsi kwamba kila mradi wa ujenzi unapofanyika huwa kuna makosa yanafanyika na kutakiwa kurekebishwa na kwa kutumia mtaalamu mwenye uzoefu bila kujalisha kuna fundi mjenzi mwenye uzoefu wa miaka mingapi katika utekelezaji wa mradi huo. Yaani hata unapokuta kuna umakini kiasi gani katika eneo […]

CHANGAMOTO MPYA KWENYE UJENZI ZITUMIKE KUUBORESHA MFUMO.

Kama tulivyoendelea kujadili kwenye makala zilizopita njia nzuri ya kupunguza makosa kwenye miradi ya ujenzi ni kuwa na mchakato maalum unaofuatwa hatua kwa hatua katika utekelezaji wa mradi wa ujenzi. Mfumo huo unatumika badala ya kutegemea maamuzi ya mtu au msimamizi mmoja ambaye ndiye anatoa maelekezo yote badala yake mchakato mzima wa utekelezaji unakuwa upo […]