JENGO LA OFISI NDOGO
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255 717 452 790.
This author has not written his bio yet.
But we are proud to say that Ujenzi Makini contributed 773 entries already.
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255 717 452 790.
Usalama mahali pa kazi bado ni suala lisilopewa uzito hususan kwa miradi ya kawaida ya mtaani ambayo haipewi umakini na taasisi husika lakini ajali zake zipo na huwa zinakuja na gharama kubwa. Tunapaswa kuongeza kipaumbele sana kwenye eneo hili la usalama mahali pa kazi sio kwa sababu tu tunaziogopa au tunataka kuzifurahisha mamlaka husika kama […]
Moja kati ya vitu vinavyofanya wataalamu kwenye fani ya ujenzi katika nchi za ulimwengu wa tatu wanafanya kazi za kawaida zisizo na msisimko mkubwa ni pamoja kukosekana kwa miradi mingi ya inayojumuisha vitu kwa sababu aidha ya gharama zake au kutokuwa na umaarufu mkubwa katika mazingira husika. Sasa moja kati ya mawazo ya kipekee sana […]
Kila siku tunawasiliana na watu wengi ambao wanapiga simu au kutuma ujumbe kwa njia ya whatsapp na kawaida wakiulizia mambo mbalimbali yanayohusu ujenzi. Moja kati ya vitu vinavyouliziwa sana na kwa namna tofauti tofauti ni gharama za ujenzi. Watu mbalimbali wanaulizia gharama za ujenzi wa majengo ya aina mbalimbali na ya ukubwa mbalimbali kwa kutaja […]
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255 717 452 790.
Kutokana na uhaba na umuhimu wake karibu kila mtu anapoamua kuingia kwenye mradi wa ujenzi kabla ya kuanza kitu anachofikiria sana kwenye akili yake ni gharama za ujenzi. Ni kweli kwamba gharama za ujenzi ndio kitu muhimu cha kuangalia kwa sababu kwanza ndio zinazoamua kama mradi ujengwe au usijengwe na hata kuamua mradi ujengwe kwa […]
Miradi ya ujenzi bila kujalisha ni midogo au mikubwa ni kati ya miradi ambayo huwa na makosa mengi sana katika utekelezaji wake. Miradi hii huambatana na makosa mengi sana ya kiutendaji kwa sababu inahusisha taarifa nyingi sana za kwenye michoro ya ramani kwenye kuitekeleza ambayo kutokana na kukosa umakini katika au ugumu kwenye ufanyaji. Hivyo […]
Kati ya vitu ambavyo vimekuwa vikinishangaza sana kwa muda mrefu ni jinsi kwamba kila mradi wa ujenzi unapofanyika huwa kuna makosa yanafanyika na kutakiwa kurekebishwa na kwa kutumia mtaalamu mwenye uzoefu bila kujalisha kuna fundi mjenzi mwenye uzoefu wa miaka mingapi katika utekelezaji wa mradi huo. Yaani hata unapokuta kuna umakini kiasi gani katika eneo […]
Kama tulivyoendelea kujadili kwenye makala zilizopita njia nzuri ya kupunguza makosa kwenye miradi ya ujenzi ni kuwa na mchakato maalum unaofuatwa hatua kwa hatua katika utekelezaji wa mradi wa ujenzi. Mfumo huo unatumika badala ya kutegemea maamuzi ya mtu au msimamizi mmoja ambaye ndiye anatoa maelekezo yote badala yake mchakato mzima wa utekelezaji unakuwa upo […]
Binadamu tumeumbwa na hali fulani ya kuamini watu wetu wa karibu pale wanatuambia au kutuhakikishia jambo. Suala hili lilikuwa ni jambo la muhimu sana kwetu wakati tukiwa tunaishi ndani ya jamii kwani lilisaidia kuepuka hatari nyingi wakati huo ambapo tabia hiyo imejengeka kabisa ndani yetu kiasi kwamba ina nguvu ile ile iliyokuwa nayo zama za […]
Ujenzi Makini ni Mtandao unaotoa elimu na ushauri kwa mambo yote yanayohusu ujenzi na changamoto zote za kiufundi na kitaaluma katika fani ya ujenzi kwa lengo la kuboresha zaidi huduma na mazingira ya ujenzi kwa ujumla.
Dar es Salaam, Tanzania.
+255 717 452 790
info@ujenzimakini.com