KWENYE UJENZI UFUNDI NA USIMAMIZI WA KITAALAMU NI VITU VIWILI TOFAUTI.
Baadhi ya watu wamekuwa hawaelewi sana undani wa yale yanayoendelea kwenye miradi ya ujenzi hivyo wamekuwa wakidhani kwamba wakishakuwa na fundi wa kuwajengea nyumba yao basi wanakuwa wamemaliza suala la ujenzi kwa uhakika kabisa. Lakini unapokuja kwenye uhalisia wa kazi unakuta hilo sio kweli kwani hata katika ujenzi unaozingatia taratibu rasmi zilizowekwa na mamlaka zinazosimamia […]
