KWENYE UJENZI MAMBO MENGI HUYAJUI NA HAYATAKUACHA SALAMA.
Moja kati ya vitu ambavyo akili ya binadamu huwa inatugharimu navyo sana basi ni kile kitendo cha kushindwa kujua tusichojua na akili zetu kutuaminisha kwamba tunajua kila kitu kwa sababu kile tusichokijua hatukijui na wala hatufikiri kabisa kama kinaweza kuwepo. Pale tunakuwa tunajua mambo machache halafu hatujui jambo jingine lolote zaidi ya hayo machache basi […]
