Entries by Ujenzi Makini

KWENYE UJENZI MAMBO MENGI HUYAJUI NA HAYATAKUACHA SALAMA.

Moja kati ya vitu ambavyo akili ya binadamu huwa inatugharimu navyo sana basi ni kile kitendo cha kushindwa kujua tusichojua na akili zetu kutuaminisha kwamba tunajua kila kitu kwa sababu kile tusichokijua hatukijui na wala hatufikiri kabisa kama kinaweza kuwepo. Pale tunakuwa tunajua mambo machache halafu hatujui jambo jingine lolote zaidi ya hayo machache basi […]

USIPUUZE UTAALAMU MAKOSA KWENYE MRADI WA UJENZI NI UHAKIKA – 1.

Watu wengi wamekuwa wakijdanganya kwamba wanaweza kuweka umakini wa kutosha kuepuka makosa yoyote ya kiufundi yanayoweza kujitokeza na kuharibu mradi ujenzi. Lakini ukweli ni kwamba hata miradi mikubwa kabisa yenye idadi kubwa kabisa ya wasimamizi na inayofuata itifaki iliyopangiliwa kwa usahihi bado hujikuta ikiwa na makosa kiasi. Hivyo ni kujidanganya kwamba unaweza kuyaondoa peke yako […]

USIPUUZE UTAALAMU, MAKOSA KWENYE UJENZI NI UHAKIKA.

Watu wengi hupuuzia huduma za kitaalamu, wengine hupuuzia kuanzia katika hatua ya awali kabisa ya kuandaa michoro ya ramani wakati wengine hupuuzia wakati ujenzi unaendelea katika hatua ya kufanya mradi wenyewe. Haya yote mawili ni makosa makubwa na mara nyingi utakuja kulipia gharama kubwa zaidi kuliko hiyo ya kitaalamu unayojaribu kuikwepa. Wakati mradi wowote wa […]

MABADILIKO YA MATUMIZI YA KIWANJA.

Baada ya kupeleka nyaraka katika halmashauri ya manispaa, jiji au mji husika zinazojumuisha bango hilo na barua ya kuomba mabadiliko ya matumizi utaambatanisha na nakala za michoro ya ramani ya mradi unaoenda kujengwa hapo. Michoro inayotakiwa ni michoro yote inayohitajika ili kazi ya michoro ya ramani iwe imekamilika tayari kwa ajili ya kuanza ujenzi. Nyaraka […]

MABADILIKO YA MATUMIZI YA KIWANJA.

Moja kati ya changamoto sugu ambazo watu wengi hukutana nazo wakati wanafuatilia vibali vya ujenzi ni suala la matumizi ya kiwanja kuwa tofauti na lengo la mradi unaoombewa kibali. Hili limekuwa tatizo kubwa kwa sababu vipengele vya matumizi ya viwanja vimekuwa vingi sana kiasi kwamba ni rahisi mtu kukuta kile anachotaka kufanya kwenye kiwanja husika […]

FAIDA NA HASARA ZA KUJENGA KIENYEJI.

Kama ilivyo kwa taaluma nyingine yoyote kuna kanuni za kufuata ambazo hutoa mwongozo sahihi wa kufanikisha jambo fulani kwa usahihi na kwa viwango bora vinavyokubalika. Na ikiwa kanuni hizo hazikufuatwa basi kazi husika au mradi husika hupata madhara fulani ya kuwa na walakini au hitilafu fulani ambayo husababisha usumbufu fulani kwenye kazi husika au mradi […]