RAMANI NA UJENZI ARUSHA.
Arusha ni moja kati ya majiji yanayokua kwa kasi sana katika sekta ya ujenzi Tanzania. Ni jiji linalojengwa zaidi kaskazini ya Tanzania na kasi ya ukuaji wake ni kubwa sana pia. Gharama ya vifaa vya ujenzi ni ya wastani ukilinganisha na maeneo mengi ya Tanzania na kwenye suala la ufundi na huduma za kitaalamu watu […]