UNAFUU KATIKA UJENZI WA SHULE AU TAASISI KUBWA INAYOHUSISHA MAJENGO MENGI.
Wapo watu wengi ambao wamekuwa wakifikiria kuanzisha taasisi mbalimbali na hasa taasisi za elimu hususan shule, lakini kwa bahati mbaya changamoto yao kubwa wanayokutana nayo ni kukosa uwezo wa kufadhili miradi ya kujenga shule husika. Kutokana na kukosa uwezo wa kujenga licha ya kuwa na kipaji cha kuendeleza shule husika watu wengi wamekuwa wakikata tamaa […]
