Entries by Ujenzi Makini

RAMANI NA UJENZI ARUSHA.

Arusha ni moja kati ya majiji yanayokua kwa kasi sana katika sekta ya ujenzi Tanzania. Ni jiji linalojengwa zaidi kaskazini ya Tanzania na kasi ya ukuaji wake ni kubwa sana pia. Gharama ya vifaa vya ujenzi ni ya wastani ukilinganisha na maeneo mengi ya Tanzania na kwenye suala la ufundi na huduma za kitaalamu watu […]

RAMANI NA UJENZI MWANZA

Mwanza ni moja kati majiji ambayo sekta ya ujenzi inakuwa kwa kasi sana Tanzania. Hata hivyo Halmashauri ya jiji la Mwanza na halmashauri ndogo za pembeni ya jiji kama vile Misungwi na Sengerema ni kati ya halmashauri ambazo mamlaka za ujenzi zimekuwa “serious” sana. Miradi ya ujenzi inayofanyika katika maeneo yanayoonekana iwe ni ndani au […]

RAMANI NA UJENZI DODOMA

Dodoma ndio mkoa ambao umekuwa na unaoendelea kukua kwa kasi sana kwa kuwa na miradi mingi ya ujenzi inayoanzishwa na kuendelea. Kuanzia serikali ya awamu ya tano ilipoipa kipaumbele sera yake ya kuhamishia ofisi zote za serikali kuu Dodoma, kasi ya mji kukua haijawahi kupungua. Ofisi mbalimbali na biashara nyingi mpya zimefunguliwa Dodoma na kufanya […]

RAMANI NA UJENZI DAR ES SALAAM

Dar es Salaam ndio mkoa unaoongoza kwa kuwa na miradi mingi ya ujenzi kuanzia midogo mpaka mikubwa ya watu binafsi, taasisi binafsi, taasisi za kiserikali, miradi ya serikali, taasisi za dini n ahata mashirika ya kimataifa. Lakini Dar es Salaam ukilinganisha na mikoa mingi sio sehemu rahisi sana ya kufanya ujenzi bila kufuata taratibu zilizowekwa […]

UJENZI NI MAHESABU

Kwa mtu ambaye una mpango wa kujenga ndani ya kipindi cha chini ya miaka mitano ijayo, jambo la kwanza na muhimu unalotakiwa kufanya kwa sasa ni kuanza mchakato. Kadiri unavyoanza mchakato mapema ndivyo kadiri na kufahamu mambo mengi mapema ndivyo unavyopunguza makosa na kurahisisha zoezi hilo. Unaweza kujiuliza unaanzaje mchakato wakati bado huoni pa kuanzia, […]

KARIBU KWA USHAURI WA KITAALAMU JUU YA UJENZI

Jambo la kwanza kabisa unalopaswa kufikiria unapotaka kujenga linapaswa kuwa unapata wapi mtaalamu wa kukushauri juu ya ujenzi wa mradi wako kadiri ya hali yako ilivyo kwa ujumla na kile unacholenga kufanikisha. Kupata ushauri sahihi wa kitaalamu mara nyingi kutakuepusha na majuto mbeleni pamoja na hasara ambayo wakati mwingine inaweza kuwa kubwa sana. Uzuri ni […]

KUBADILISHA MATUMIZI YA KIWANJA UNAHITAJI MICHORO YA RAMANI.

Viwanja katika maeneo mbalimbali vimepangiwa matumizi na wataalamu wa mipango miji katika wizara ya ardhi kwa namna ambayo wanaona ni sahihi zaidi kitaalamu. Lakini hata hivyo wizara imetoa uhuru wa mtu kuamua kufanya mabadiliko ya matumizi kadiri ya namna alivyoamua kutumia kiwanja chake. Uhuru wa mtu kufanya mabadiliko ya matumizi ya kiwanja umewekwa kwa sababu […]