MIKOPO YA UJENZI WA NYUMBA TANZANIA (MORTGAGE), INAPATIKANA.
Mikopo ya nyumba aina ya “mortgage” imekuwa ni huduma adimu sana kupatikana kwa nchi yetu ya Tanzania ukilinganisha na nchi zilizoendelea ambapo mikopo ya aina hii ni mingi sana na ni maarufu sana pia. Kwa wasioelewa vizuri “mortgage” ni aina ya mkopo wa nyumba ambapo taasisi ya kifedha inakukopesha fedha kwa ajili ya kununua, kukarabati […]