KUJENGA MAKAZI NA NYUMBA NI ASILI YA BINADAMU TANGU KALE.
Kumiliki makazi na nyumba imekuwa ni sehemu muhimu sana ya utamaduni wa binadamu tangu kale na kale. Kujenga nyumba na makazi vimeanza tangu kabla ya historia inayojukana kuanza kuandikwa lakini ubunifu na mapinduzi zaidi ya ujenzi yalifanyika katika nyakati zinazojulikana zaidi kihistoria kama “Neolithic period” ambacho ni kipindi cha kati ya miaka 10,000 iliyopita na […]
