KUEPUSHA KUHARIBU KAZI, MPE MTAALAMU UHURU WA KUTOSHA
Mara nyingi kama wewe ni mteja mtaalamu wa kufanya jengo huwa anakusikiliza unataka nini na kufanya unachotaka kwa sababu lengo lake ni kukuridhisha wewe na kufanya unachotaka kwa sababu wewe ndiye unayelipa pesa na mwisho wa siku wewe ndiye mmiliki wa jengo husika. Changamoto huwa inatokea pale mteja ndio anakuwa mpangaji na mwamuzi wa kila […]
