KULINDWA NA SHERIA KWENYE UJENZI FANYA KAZI NA KAMPUNI KWA MKATABA EPUKA MAFUNDI.
Kisaikolojia binadamu wengi tunapenda sana urahisi, sio tu urahisi wa gharama bali hata urahisi wa michakato na urahisi wa kukamilisha jukumu husika. Kweli japo ubongo unatupeleka kwenye kutafuta urahisi kwa manufaa fulani lakini hilo mara nyingi huambatana na gharama kubwa sana. Watu wengi linapokuja suala la ujenzi mara nyingi hutafuta watu wa kawaida au mafundi […]