Entries by Ujenzi Makini

IKIWA UNAPATA CHANGAMOTO ZA KUPATA WATU WAAMINIFU WA KUFANYA NAO KAZI KARIBU.

Kama nilivyotangulia kusema kwenye makala zilizopita linapokuja suala la ujenzi basi tabia ya uaminifu kwa fundi au mkandarasi anayepewa kazi ni jambo la lazima ikiwa unahitaji mradi wa ujenzi umalizike vizuri na kwa amani bila mivutano na ubabaishaji. Lakini changamoto ni kwamba tabia ya uaminifu ndio tabia adimu zaidi katika tabia za watu, inachukua muda […]

KIBALI CHA UJENZI KINACHUKUA MUDA GANI KWA MCHAKATO MZIMA KUKAMILIKA?

Mamlaka mbalimbali za serikali pamoja na nyingine zisizo na uhusiano wa moja kwa moja na serikali zimeendelea kuboreshwa na kutanuka zaidi katika kuwapelekea watu huduma karibu sana na wao ili pia kuweza kudhibiti mambo yafanyike kwa kufuata utaratibu uliowekwa. Kutokana na kutanuka sana kwa mamlaka hizi basi watu wengi sana siku wanajitahidi kujiongeza kwa kufuatilia […]

ANZA MRADI WAKO WA UJENZI UTAMALIZA.

Kutoka kwenye uzoefu wa watu wengi sana niliokutana nao mara nyingi watu huanza miradi yao ya ujenzi wakiwa hawana uhakika kama wanakwenda kukamilisha miradi hiyo na huanza kama utani tu wakiwa hawajui ni lini watakamilisha miradi yao. Lakini kwa sababu baada ya mtu kuanza huweka nguvu na akili zake zote kwenye mradi huo wa ujenzi […]

KAZI YA KUFANYA MAHESABU YA UJENZI NI YA MTAALAMU WA UKADIRIAJI MAJENZI.

Mara nyingi katika kazi tunazofanya tumekuwa tunakutana na wateja ambao wanahitaji kufanyiwa kazi za michoro ya ramani kisha baada ya hapo wanahitaji kufanyiwa kazi za ukadiriaji wa gharama za ujenzi wa majengo ambapo wanategemea wewe mwenyewe ndio ufanye kazi hiyo. Licha ya kwamba ni kweli kwamba mtaalamu wa usanifu majengo au uhandisi mihimili anaweza kupitia […]