UJENZI UNAPOKOSA WATAALAMU NA THAMANI INAKOSEKANA PIA.
Siku za hivi karibuni nilifanya kikao na ofisa mmoja wa mikopo wa moja kati ya benki za kigeni zinafanya vizuri sana hapa nchini. Tuliweza kuongea mengi na mimi nikijaribu kumpa maelezo ya mapendekezo yangu kwake ndio tukajikuta tumeingia kwenye mjadala mmoja uoavutia sana. Aliniambia kwamba wamekuwa wakitoa mikopo ya ujenzi kwa mashirika na kwa watu […]
