UJENZI WA NYUMBA KIJIJINI.
Watu wengi hasa katika nchi zinazoendelea ni aidha wa wametokea vijiji au wazazi wao walitokea vijijini hivyo wana makazi ya kurithi katika maeneo ya vijijini. Sasa kutokana na uhalisia huo watu wengi wamekuwa wakisukumwa kujenga nyumba za kuishi katika maeneo waliyotokea hata kama hawaishi maeneo haya kwa muda wote wakiwa na sababu mbalimbali. Kuna wengine […]