Entries by Ujenzi Makini

GHARAMA YA KUKWEPA UTAALAMU KWENYE UJENZI.

Nimekuwa nikilala kwenye hoteli mbalimbali ninaposafiri kwenye mikoa tofauti na hilo limenpa fursa ya kujifunza mengi yanayohusiana na fani yangu ya usanifu majengo na ujenzi kwa maeneo ninayofikia. Licha ya kwamba watu wengi wanajitahidi kujenga kwa viwango vizuri ili kuvutia wateja lakini unaweza kuona wazi jinsi watu hawa wanatumia pesa nyingi ambazo wangeweza kuziokoa na […]

USAFI WA ENEO LA UJENZI.

Katika eneo la ujenzi kunaweza kuwa na aina mbili za uchafu. Moja ni uchafu ambao unatokana na takataka zilizotokana na kitendo cha kusafisha eneo husika kutoka kwenye hali iliyokuwepo mwanzoni kama vile miti, miinuko, au aina nyingine uchafu wa eneo husika. Mbili ni uchafu ambao umeletwa na vifaa au malighafi zinazotumika kwa ujenzi husika. Aina […]

JENGA GHOROFA BILA KUBADILI PAA.

Watu wengi hutaka kufanya mabadiliko ya nyumba zao kutoka nyumba ya kawaida kwenda kuwa ghorofa. Huu ni uamuzi sahihi kabisa na ni uamuzi wa kufanikisha ndoto yako na kufikia mahitaji yako bila kutumia gharama kubwa sana upya ya ujenzi. Lakini kama ulitumia vigae au “havy tiles” katika upauaji wa paa la juu unaweza kuwa na […]

KWENYE HUDUMA ZA UJENZI UNALIPIA MUDA NA USUMBUFU.

Moja kati ya maeneo ambayo watu wengi ambao hawaelewi vizuri thamani ya muda na utaalamu huwa hawajali kuhusu uzito wake ni katika eneo la ufundi na utaalamu. Watu wengi huona kama mtaalamu au fundi anayelipwa kwa kazi za kiufundi au kitaalamu analipwa pesa nyingi sana ambazo pengine hastahili. Hili huweza kuonekana wazi pale unapokuta mteja […]

KWENYE UJENZI MAMBO MENGI HUYAJUI NA HAYATAKUACHA SALAMA.

Moja kati ya vitu ambavyo akili ya binadamu huwa inatugharimu navyo sana basi ni kile kitendo cha kushindwa kujua tusichojua na akili zetu kutuaminisha kwamba tunajua kila kitu kwa sababu kile tusichokijua hatukijui na wala hatufikiri kabisa kama kinaweza kuwepo. Pale tunakuwa tunajua mambo machache halafu hatujui jambo jingine lolote zaidi ya hayo machache basi […]

USIPUUZE UTAALAMU MAKOSA KWENYE MRADI WA UJENZI NI UHAKIKA – 1.

Watu wengi wamekuwa wakijdanganya kwamba wanaweza kuweka umakini wa kutosha kuepuka makosa yoyote ya kiufundi yanayoweza kujitokeza na kuharibu mradi ujenzi. Lakini ukweli ni kwamba hata miradi mikubwa kabisa yenye idadi kubwa kabisa ya wasimamizi na inayofuata itifaki iliyopangiliwa kwa usahihi bado hujikuta ikiwa na makosa kiasi. Hivyo ni kujidanganya kwamba unaweza kuyaondoa peke yako […]