“USIPOZIBA UFA UTAJENGA UKUTA”, VIKAO NI MUHIMU SANA KATIKA MRADI WA UJENZI.
Kuna huu msemo maarufu wa kiswahili unaosema “usipoziba ufa, utajenga ukuta” ni msemo ambao una umuhimu mkubwa kwenye baadhi ya maeneo na hapa tunaona ukiingia kwenye hili eneo la ujenzi. Katika mradi wowote wa ujenzi vikao vya kuhusu maendeleo ya mradi husika ni muhimu sana katika kuepuka kuingia kwenye changamoto kubwa au hasara kubwa. Tunafahamu […]
