NYUMBA BORA YA KISASA YA KUISHI
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255717452790
This author has not written his bio yet.
But we are proud to say that Ujenzi Makini contributed 773 entries already.
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255717452790
Ikiwa unajenga nyumba ya kuishi isiyo ya ghorofa kwa Tanzania huwa unahitaji aina moja ya kibali peke yake ambacho ni kibali cha ujenzi kutoka Halmashauri ya jiji, manispaa au mji ambapo mradi husika unajengwa. Kibali hiki kinapatikana kwa kuombwa ukiwa umeambatanisha michoro ya ramani iliyopigwa mihuri rasmi pamoja na hati ya kiwanja au taarifa za […]
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255717452790.
Japo kila halmashauri ya manispaa au halmashauri ya mji ina masharti yanayotofautiana kwa kiasi katika kutimiza vigezo vya kuweza kupewa kibali cha ujenzi wa jengo ndani ya manispaa au mji husika lakini msingi wa mahitaji yake hufanana. Kwanza inatakiwa ukamilisha angalau seti saba za michoro ya usanifu majengo katika nakala ngumu angalau tatu. Michoro hiyo […]
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255717452790.
Baada ya michoro ya ramani za ujenzi kukamilika mamlaka husika zimeweka utaratibu wa kufuatilia vibali vya ujenzi ili kuhalalisha mradi husika katika utaratibu wa kisheria. Ambapo kuna aina mbili za mamlaka zinazotoa vibali vya ujenzi zilizogawanyika katika idara mbalimbali. Kwanza kuna kibali cha ujenzi kutoka Halmashauri ya manispaa au mji husika ambacho ndicho hutangulia kwanza […]
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255717452790.
Tofauti kati ya gharama ya nyumba iliyojengwa kwa malighafi zenye ubora ule ambao uko kwenye viwango vinavyokubalika na nyumba iliyojengwa kwa malighafi feki au za viwango vya chini kwa kawaida huwa sio kubwa sana, lakini madhara yanayotokana na ujenzi wa jengo lililojengwa kwa malighafi feki au za viwango vya chini ni kubwa sana na huwa […]
Architect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255717452790.
Ujenzi wa nyumba za ghorofa za kisasa umeshamiri sana na watu wengi zaidi wanazidi kujiingiza kwenye ujenzi wa nyumba za ghorofa kwa sababu kadhaa. Moja ikiwa ni uhitaji wa nyumba yenye vyumba vitu vingi ndani na nyingine ni katika kupunguza matumizi ya eneo kubwa la ardhi. Hata hivyo wengine wanavutiwa zaidi nyumba ya ghorofa kwa […]
Ujenzi Makini ni Mtandao unaotoa elimu na ushauri kwa mambo yote yanayohusu ujenzi na changamoto zote za kiufundi na kitaaluma katika fani ya ujenzi kwa lengo la kuboresha zaidi huduma na mazingira ya ujenzi kwa ujumla.
Dar es Salaam, Tanzania.
+255 717 452 790
info@ujenzimakini.com