MRADI WA UJENZI UPANGILIWE KABLA YA KUANZA
Kumekuwa kunajitokeza changamoto nyingi wakati mradi ukiwa unaendelea ambazo wakati mwingine huleta hasara ya fedha na muda zinazosababishwa na kutokuwa na mpangilio sahihi wa mtiririko wa namna mradi utatekelezwa. Hili linatakiwa kufanyika kwa timu nzima ya ujenzi kwa maana ya watu wa fani zote wanaohusika kukaa pamoja, kujadili na kila mtu atazungumzia upande wake kisha […]