Entries by Ujenzi Makini

MRADI WA UJENZI UPANGILIWE KABLA YA KUANZA

Kumekuwa kunajitokeza changamoto nyingi wakati mradi ukiwa unaendelea ambazo wakati mwingine huleta hasara ya fedha na muda zinazosababishwa na kutokuwa na mpangilio sahihi wa mtiririko wa namna mradi utatekelezwa. Hili linatakiwa kufanyika kwa timu nzima ya ujenzi kwa maana ya watu wa fani zote wanaohusika kukaa pamoja, kujadili na kila mtu atazungumzia upande wake kisha […]

LENGO LAKO LIWE NI UBORA

Pale unapoamua kufanya kitu chochote kinachokugharimu fedha hasa fedha nyingi mara nyingi unafanya hivyo kwa sababu kitu kile kina manufaa makubwa kwako na kinaenda kuongeza thamnai kubwa kwako na kwenye maisha yako. Kwa hiyo sasa kitu ambacho kinakwenda kuboresha maisha yako na kuongeza thamani kwako na kwa maisha yako na kinachokugharimu fedha nyingi kinastahili kupewa […]

SHERIA ZA BODI YA UJENZI(CRB) ZINAZOSIMAMIWA NA (OSHA) JUU YA USALAMA NA AFYA MAHALI PA UJENZI NA ADHABU ZAKE.

Hizi ni sheria zinazotungwa na kutekelezwa na bodi ya ujenzi na ukandarasi “Contractors Registration Borad(CRB)” na kusimamiwa na wakala wa serikali wa usalama na afya mapali pa kazi (OSHA) kama ifuatavyo. -Kila mkandarasi ana wajibu wa kumpatia kila mtu aliyeko katika saiti ya ujenzi vifaa vyote vinavyohitajika kwa ajili ya kujilinda anapokuwa katika mahali pa […]

GHARAMA ZA ZIADA ZA MICHORO YA RAMANI

Tunapolipia gharama za huduma za kitaalamu watu wengi huwa hatujui hasa tunalipia nini.  Mara nyingi tunafikiri kwamba nahitaji huduma fulani ya kitaalamu kama vile ushauri kuhusu afya na maelekezo mengine au nahitaji ushauri kuhusu ujenzi na michoro ya ujenzi lakini hatujui kile hasa tunacholipia. Hivyo nitafafanua hapa chini. -Kwanza kabisa huwa tunalipia utaalamu wenyewe, yaani […]

MABADILIKO WAKATI UJENZI UNAENDELEA YASIFANYIKE KIHOLELA

Mara nyingi sana hasa kwa miradi ya watu binafsi wakati ujenzi ukiwa unaendelea hujitokeza mawazo mbadala ya mabadiliko ya jengo ambayo huonekana ni muhimu sana kwa mteja, hivyo kutakiwa kuingizwa kwenye utekelezaji. Mabadiliko ni jambo zuri hasa yanapokuwa yameamuliwa na mtumiaji wa jengo lakini changamoto inayojitokeza ni kwamba huwa yanaamuliwa kiholela bila kumshirikisha mtaalamu aliyefanya […]

NI MUHIMU KUHAKIKI VIPIMO VYA JENGO LAKO.

Wewe kama mmiliki na mtumiaji wa jengo baada ya kupata mtaalamu wa kukutengenezea ramani nzuri na sahihi kuna mambo unatakiwa kuwa nayo makini wakati mchakato wa kuandaa ramani na michoro unaanza na mojawapo ni kuhakikisha unaelewa kwa usahihi vipimo halisi vya jengo lako badala ya kumuachia mtaalamu ndio akuamulie. Kumuachia mtaalamu ndio akuamilie huwa wakati […]

USIAMINI KIURAHISI, MWAMBIE AKUONYESHE KAZI ALIZOFANYA

Unapohitaji mtu sahihi wa kukufanyia kazi kwa viwango makini unachohitaji sio watu wa kupendekezwa peke yake bali unahitaji kuona kazi iliyofanywa na mtu husika kwani hiyo ndio kipimo sahihi cha uwezo wake. 1. Watu wengine wanaweza kujieleza vizuri zaidi ya wanavyoweza kufanya kazi na kuna watu wana ushawishi mkubwa sana wa maneno lakini kwenye vitendo […]

NAMNA YA KUJUA GHARAMA SAHIHI ZA MICHORO YA RAMANI

Suala la kujua namna ya kudadavua gharama sahihi za michoro ya ramani ya jengo limekuwa ni jambo lenye mivutano mara nyingi na kupelekea pande mbili baina ya mteja na mtoa huduma ya kutaalamu ambapo kila mmoja kuona kama hajatendewa haki. Mteja huona amefanyiwa gharama kubwa sana huku mtoa huduma ya kitaalamu kuona amepunjwa sana na […]

KULAZIMISHA BEI NDOGO NI KULAZIMISHA HUDUMA MBOVU.

Wengi wetu, kutokana na mazoea na hisia zilizotutawala kila tunapofikiria kuhusu huduma za kulipia huwa tunakimbilia kufikiria ni wapi tutapata kwa bei ndogo. Lakini kwa uzoefu mkubwa tuliopitia tumeweza kuona uhalisia wake katika utekelezaji wa ile huduma husika hupelekea matokeo yasiyotarajiwa karibu mara zote. -Kwanza kabisa wale watu wenye uwezo mkubwa na maarifa sahihi ya […]

GHARAMA ITAKUWA KUBWA ZAIDI YA ILIVYOPANGWA.

Kwa kawaida katika miradi ya ujenzi huwa ni vigumu sana bajeti iliyopangwa kumaliza kazi bila nyongeza ya zaidi licha ya kujitahidi kupiga mahesabu kwa usahihi mkubwa. -Hili hutokea kwenye miradi ya aina zote kwa sababu ni mara chache sana kuweza kutabiri kila kitu kwa usahihi kuanzia muda utakaotumika, dharura zitakazotokea na mabadiliko ya bei za […]