Entries by Ujenzi Makini

KUFANYA UJENZI NA KAMPUNI AU KUFANYA UJENZI NA MAFUNDI.

Watu wengi wanajua kabisa kwamba kufanya mradi wake wa ujenzi na kampuni kuna faida nyingi na muhimu kuliko kufanya ujenzi na mafundi wa mtaani. Watu wanajua kwamba manufaa wanayoweza kupata kwenye kampuni ni pamoja na kufanyia kazi kwa uaminifu, kazi kutokukimbiwa, kusaidiwa kutatuliwa changamoto za kwenye halmashauri za miji, manispaa na majiji, mradi kupangiliwa vizuri […]

FANYA HIVI KUEPUKA KUIBIWA KWENYE UJENZI.

Watu wengi wameumizwa sana kwenye ujenzi kiasi kwamba kila wanapopanga kufanya mradi wa ujenzi wanafikiria mara mbili kwanza ni lini atapata nafasi asimamishe shughuli zake zote akasimamie mradi wake wa ujenzi ili kuepusha kuibiwa na kuharibiwa kazi. Hata hivyo bado kusimamia mwenyewe sio suluhisho kamili la kuepuka kuibiwa kwani mafundi wengi ni wazoefu sana katika […]

HIVI NDIVYO UNAVYOWEZA KUJENGA NYUMBA YA NDOTO YAKO.

Licha ya kujitahidi kutafuta sana maisha lakini watu wengi hushindwa kujenga nyumba za ndoto zao kwa sababu hushindwa kujua kwamba mradi wa kufanikisha kujenga nyumba ya ndoto yako unahitaji umakini mkubwa na kuna maeneo ya muhimu yanayopaswa kuzingatiwa lakini muhimu sana ni kupata mtu sahihi, mwenye uwezo na uzoefu wa kukuongoza kwa usahihi. Jambo hili […]