Entries by Ujenzi Makini

HIZI HAPA SABABU ZA KWA NINI, LAZIMA UTAJUTIA MAAMUZI YAKO KWENYE MRADI WA KWANZA WA UJENZI.

Kitu cha kwanza ambacho utakuta kujutia ambacho watu wengi pia hujutia sana baadaye wakati unafanya ujenzi kwa mara ya kwanza ni kukosa uelewa juu ya gharama za ujenzi. Mara watu hufikiri kwamba kuna namna wanaweza kupunguza gharama za ujenzi hivyo hujaribu kuvutiwa na watu wanaoonekana kumwambia kuhusu gharama kidogo kwenye ujenzi bila kujihangaisha na uhalisia […]

KUFANYA UJENZI NA KAMPUNI AU KUFANYA UJENZI NA MAFUNDI.

Watu wengi wanajua kabisa kwamba kufanya mradi wake wa ujenzi na kampuni kuna faida nyingi na muhimu kuliko kufanya ujenzi na mafundi wa mtaani. Watu wanajua kwamba manufaa wanayoweza kupata kwenye kampuni ni pamoja na kufanyia kazi kwa uaminifu, kazi kutokukimbiwa, kusaidiwa kutatuliwa changamoto za kwenye halmashauri za miji, manispaa na majiji, mradi kupangiliwa vizuri […]

FANYA HIVI KUEPUKA KUIBIWA KWENYE UJENZI.

Watu wengi wameumizwa sana kwenye ujenzi kiasi kwamba kila wanapopanga kufanya mradi wa ujenzi wanafikiria mara mbili kwanza ni lini atapata nafasi asimamishe shughuli zake zote akasimamie mradi wake wa ujenzi ili kuepusha kuibiwa na kuharibiwa kazi. Hata hivyo bado kusimamia mwenyewe sio suluhisho kamili la kuepuka kuibiwa kwani mafundi wengi ni wazoefu sana katika […]