KUFANYA UJENZI NA KAMPUNI AU KUFANYA UJENZI NA MAFUNDI.
Watu wengi wanajua kabisa kwamba kufanya mradi wake wa ujenzi na kampuni kuna faida nyingi na muhimu kuliko kufanya ujenzi na mafundi wa mtaani. Watu wanajua kwamba manufaa wanayoweza kupata kwenye kampuni ni pamoja na kufanyia kazi kwa uaminifu, kazi kutokukimbiwa, kusaidiwa kutatuliwa changamoto za kwenye halmashauri za miji, manispaa na majiji, mradi kupangiliwa vizuri […]