TUMIA WATAALAMU KWENYE UJENZI KUONGEZA THAMANI YA MRADI WAKO.
Moja kati ya sababu kubwa ya watu wengi kutopiga hatua kubwa kwenye maisha yao inatokana na watu kufanya mambo kwa mazoea na kufuata maneno na mazoea yaliyopo mtaani badala ya kukaa na kufikiri kwa utofauti. Mara nyingi kwenye maisha huwa tunakuja kugundua kwamba tulifanya makosa kwa kuchelewa sana wakati tukiwa tayari tumeshapoteza. Hili linachangiwa na […]