KUIGA RAMANI YA MTANDAONI NI KAZI NGUMU ZAIDI KULIKO KUFANYA MWENYEWE.
Kuna baadhi ya watu wamekuwa hawaelewi utaratibu wa kazi tunazofanya wala undani wake na kimakosa wamekuwa wanafikiri kazi tunazofanya hususan picha wanazoziona kwamba tunazitoa mitandaoni na kisha kuziendeleza au kuzitumia kama zilivyo. Mtazamo wa aina hii umekuwa ukituweka katika mazingira magumu kwa sababu umepelekea baadhi ya watu kufikiri kwamba kazi tunayofanya ni rahisi sana kwa […]