About Ujenzi Makini
This author has not written his bio yet.
But we are proud to say that Ujenzi Makini contributed 775 entries already.
Entries by Ujenzi Makini
DHANA YA UNAFUU WA GHARAMA KWENYE UJENZI.
/0 Comments/in MAKALA ZA UJENZI/by Ujenzi MakiniLinapokuja suala la ujenzi nimekuwa nikiwashauri watu mbalimbali wanapoamua kujenga waanze kuweka mkazo kwanza kwenye kile wanachokitaka na wale wanayopendelea katika nyumba zao badala ya kuweka mkazo kwenye gharama za ujenzi. Ni kweli nafahamu kwamba gharama ndio mwamuzi mkuu lakini naamini kwamba kwa mtu yeyote kuna vipaumbele vyake ambavyo ni muhimu sana ambavyo havipaswi kuwekewa […]
KUIGA RAMANI YA MTANDAONI NI KAZI NGUMU ZAIDI KULIKO KUFANYA MWENYEWE.
/0 Comments/in MAKALA ZA UJENZI/by Ujenzi MakiniKuna baadhi ya watu wamekuwa hawaelewi utaratibu wa kazi tunazofanya wala undani wake na kimakosa wamekuwa wanafikiri kazi tunazofanya hususan picha wanazoziona kwamba tunazitoa mitandaoni na kisha kuziendeleza au kuzitumia kama zilivyo. Mtazamo wa aina hii umekuwa ukituweka katika mazingira magumu kwa sababu umepelekea baadhi ya watu kufikiri kwamba kazi tunayofanya ni rahisi sana kwa […]
NYUMBA KUBWA YA VYUMBA VINGI
/0 Comments/in MIRADI MIPYA/by Ujenzi MakiniArchitect Sebastian Moshi. Whatsapp/Call +255717452790.
MSINGI WA JENGO UNAPOKOSEWA.
/0 Comments/in MAKALA ZA UJENZI/by Ujenzi MakiniKwa kawaida siku zote ujenzi huwa unaanza na kitu kinachoitwa “setting out”, yaani kuli-set jengo katika eneo sahihi ambapo litakaa. Hatua hii huwa ni muhimu sana kwani ndio inayoamua uelekeo wa jengo na namna linahusiana na kiwanja linapojengwa lakini muhimu zaidi ni hatua hii inapaswa kufanyika kwa umakini mkubwa ili kupata usahihi wa mraba wa […]
UKUBWA WA VYUMBA UNAVYOHITAJI.
/0 Comments/in MAKALA ZA UJENZI/by Ujenzi MakiniMara nyingi sana wateja wengi tunaokutana nao huwa hawana mawazo ya ni ukubwa gani wa vyumba na maeneo mengine ndani ya nyumba zao wanaouhitaji. Hii huwa inakuwa changamoto kidogo kwa mtaalamu kwa sababu ni vigumu kubashiri ukubwa ambao mteja anauhitaji kwa sababu inakuwa vigumu kujua uzoefu wake wa eneo analoishi na namna anachukulia ukubwa aliouzoea. […]
KWENYE MRADI WA UJENZI USIWEKE MTAZAMAJI MKOSOAJI WEKA MSIMAMIZI.
/0 Comments/in MAKALA ZA UJENZI/by Ujenzi MakiniMoja kati ya maeneo ambayo yamekuwa yakifanyika makosa makubwa kwenye usimamizi wa miradi ya ujenzi ni namna ambayo msimamizi anahusiana na mtekelezaji au wajenzi katika mradi. Wateja wengi wamekuwa wakifanya maamuzi ya kuweka kuingia mkataba na fundi au mkandarasi kisha kuweka msimamizi ambaye atakuwa anahakikisha kazi inafanyika kwa usahihi na kwa viwango vinavyokubalika kwa kuzingatia […]
NI GHARAMA KUBWA IKIWA UJENZI UTAMALIZIKA BILA CHANGAMOTO.
/0 Comments/in MAKALA ZA UJENZI/by Ujenzi MakiniWote tunajua jinsi kila mtu huwa yuko makini sana na suala la gharama pale anapotaka kufahamu bei ya kitu chochote ikiwa anahitaji kweli kitu hicho. Hii ni hisia ya kisaikolojia kwa kila binadamu duniani ambayo imepandikizwa ndani yetu kutokana na uhaba wa upatikanaji wa rasilimali fedha au thamani nyingine mbadala ukilinganisha na umuhimu wake katika […]
KURAHISISHA ZOEZI LA UJENZI WA NYUMBA YAKO WEKA MUDA MWINGI WA KUSHUGHULIKA NAO.
/0 Comments/in MAKALA ZA UJENZI/by Ujenzi MakiniKati ya vitu ambavyo vitakugharimu, kukupotezea muda sana na kuwa kero sana kwenye mradi wako wa ujenzi ni vikwazo utakavyokutana navyo kwa ghafla utakapokuwa unafuatilia mambo mbalimbali ambavyo hukuvitegemea na vitakavyokuwa vinahusisha usumbufu mkubwa sana ambao hukuutegemea pia na kuchelewesha sana mradi wako tofauti na ulivyokuwa unapanga na pengine hata kukuingiza hasara ya fedha na […]
MATUMIZI YA KIWANJA YATAKUPOTEZEA MUDA KWENYE KIBALI CHA UJENZI.
/0 Comments/in MAKALA ZA UJENZI/by Ujenzi MakiniMoja ya kati ya vitu ambavyo ni changamoto kubwa na kero kwa watu wengi kwenye utekelezaji wa miradi ya ujenzi ni pamoja na urasimu ambao mtu huweza kukutana nao kwenye mamlaka za kiserikali katika kufanikisha kusajili mradi wa ujenzi kwa mujibu wa sheria. Na moja kati ya eneo ambalo lina changamoto ambayo huwa iko “serious” […]
Kuhusu Sisi
Ujenzi Makini ni Mtandao unaotoa elimu na ushauri kwa mambo yote yanayohusu ujenzi na changamoto zote za kiufundi na kitaaluma katika fani ya ujenzi kwa lengo la kuboresha zaidi huduma na mazingira ya ujenzi kwa ujumla.
Mawasiliano
Dar es Salaam, Tanzania.
+255 717 452 790
info@ujenzimakini.com
