MAELEWANO KATI YA MTAALAMU WA KUFANYA MICHORO NA MKANDARASI.
Namna kazi nyingi za ujenzi zimekuwa zikifanyika na mwenendo wake unavyokuwa kuna miradi mingi ambayo ushirikiano kati ya mtaaamu wa kufanya michoro au msanifu majengo na mkandarasi anaeenda kutekeleza mradi husika unakuwa haupo kabisa, wakati mwingine hawafahamiana kabisa au hawajawahi kuwasiliana. Jambo hili limekuwa linasababisha changamoto kadhaa wakati wa ujenzi wakati mwingine hata na lawama […]