HIVI NDIVYO WATU WAKO WA KARIBU WANAVYOKUIBIA KWENYE UJENZI.
Kwa sasa ni jambo ambalo liko wazi kabisa kwa kila mtu kwamba suala la wizi kwenye miradi ya ujenzi ni utamaduni uliokomaa na kuota mizizi kabisa hasa kwa mafundi wa mitaani. Yaani kuiba imekuwa ni sehemu ya mbinu ambazo mafundi wameshazihalalisha kabisa kwao kama njia ya kujipatia kipato na kwa wale wasiofanya hivyo ndio huonekana […]