CHUMBA CHA MAOMBI, TAHAJUDI AU TAFAKURI KWENYE MAKAZI YA NYUMBA YA KUISHI.
Nyumbani ni moja kati ya sehemu ambazo mtu hutumia muda wake mwingi zaidi kuwepo. Hata kama mtu huyo atakuwa anaenda ofisini au kazini kila siku lakini mara nyingi ataamkia nyumbani na kurudi kulala nyumbani ambapo ndio makazi yake ya kudumu ambapo ndio eneo muhimu la kupumzikia pia baada ya kuchoka na michakato na mihangaiko ya […]
